Bondia Ibrahimu Class ‘King
Class Mawe’ kushoto akifundishwa ngumi za kwenda kasi zilizo nyooka na
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’
Class anajiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu ‘Kiduku’ Desemba 25
utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Moro
goro Picha na
IBRAHIMU CLASS ‘KING CLASS MAWE’ |
Bondia ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia ibrahimu Maokola ‘kushoto’ akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro katikati ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ akiwasimamia mazoezi haya ya kupigana Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Post a Comment